Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zaa Tff Rais wa shirikisho hilo la soka hapa Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema kuwepo kwa uwanja mpya wa Kimataifa ituwezesha kupata wageni wengi kwa kuuwangalia Uwanja kupitia vyombo mbalimbali vya habari kitu kitakachopelekea timu nyingi kuomba uwanja kwaajilim ya kuutumia.
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
22 hours ago
No comments :
Post a Comment