Tanzania ni miongoni mwa nchi 52 katika Afrika, nchi ambayo inatarajiwa kutembelewa na Kombe la Dunia litakalokaa kwa muda wa siku mbili ikiwa ni jitihada za kuitangaza nchi yetu kwenye ramani ya soka.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zaa Tff Rais wa shirikisho hilo la soka hapa Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema kuwepo kwa uwanja mpya wa Kimataifa ituwezesha kupata wageni wengi kwa kuuwangalia Uwanja kupitia vyombo mbalimbali vya habari kitu kitakachopelekea timu nyingi kuomba uwanja kwaajilim ya kuutumia.
Kampuni ya Coca Cola ndiyo wadhamini wakuu wa safari hiyo ya utarii ambapo siku nne kuanzia leo huko Zurich,Switzerland itazinduliwa rasmi, kabla ya kuja Afrika litakalokaa kwa zaidi ya miezi miwili, ambapo kilele cha safari hiyo ya utarii itamalizikia Septemba 24 mjini Cairo Misri.Waandishi wa habari pamoja na mdau wa viwanjani wakifuatilia kwa makini mkutano.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment