Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zaa Tff Rais wa shirikisho hilo la soka hapa Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema kuwepo kwa uwanja mpya wa Kimataifa ituwezesha kupata wageni wengi kwa kuuwangalia Uwanja kupitia vyombo mbalimbali vya habari kitu kitakachopelekea timu nyingi kuomba uwanja kwaajilim ya kuutumia.
OJA , JOWUTA KUANDAA KONGAMANO LAKIMATAIFA
-
Dar es Salaam
Ujumbe maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA),
uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Cha...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment