Baadhi ya warembo wanaowania taji la Vodacom miss Tanzania wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinatolewa wakati wa semina ya warembo hawo iliyofanywa na Wizara ya maliasili na Utalii Dar es Salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)
NITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI:RC NYONGO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo, amesema ataendelea
kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji ili kukuza uwekezaji na uchumi wa
Mkoa wa...
3 days ago
No comments :
Post a Comment