Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 22, 2009

ZAIN TANZANIA WAFANYA KWELI IDDI

MAMBO YA VIDOLE JUU HAYO, KATIKA BONANZA LA ZAIN KATIKA IDDISHEREHE IPATE WENYEWE BWANA!!! WATU WEEEEEWEEEEWakazi wa Jijini wakicheza mduara kutoka kwa kundi la In Africa Band katika ufukwe wa Bahari ya Hindi eneo la Kigamboni siku ya Jumatatu jioni katika bonanza maalum lililozaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam ikiwa ni katika kusherehekea Siku Kuu ya Idi.Msanii wa In Africa Band, Bob Ludala akiwapa burudani wakazi wa Jijini katika bonanza la Idi lilofanyika katika ufukwe wa Bahari ya Hindi Kigaboni Jumatatu jioni katika bonanza maalum lilidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam ikiwa ni katika kusherehekea Siku Kuu ya Idi.Msanii wa In Africa Band Nurdin Athumani akiwapa burudani wakazi wa jijini katika bonanza la iddi lilofanyika katika ufukwe wa bahari (Sunireses) kigaboni jana bonanza ilo lilizaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain Tanzania.Naamini mpango wa TFF kuanzisha soka la ufukweni kwa staili hii tutafanikiwaWakazi wa Jijini Dar es Salaam wakicheza mpira ufukweni mwa Bahari ya Hindi maeneo ya Kigamboni siku ya Jumatatu jioni ikiwa ni sehemu ya shamra shamra zaSikukuu ya Idi. Tamasha hilo lilidhaminiwa na Zain Tanzania kwa wakazi wa jijin la Dar es Salaam .

No comments :

Post a Comment