Bondia Kisinini ambaye amerejea toka Afrika kusini alipokuwa amejichimbia kwa kupata mafunzo ya mchezo huo wa masumbwi, ametamba sasa anataka kuzichapa na Awadhi Tamimu au AShrafu Suleimani.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment