Bondia Kisinini ambaye amerejea toka Afrika kusini alipokuwa amejichimbia kwa kupata mafunzo ya mchezo huo wa masumbwi, ametamba sasa anataka kuzichapa na Awadhi Tamimu au AShrafu Suleimani.
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
22 hours ago
No comments :
Post a Comment