Bendi ya Muziki wa Dansi Tanzania Sikinde Ngoma ya Ukaye kwa sasa ipo kambini ikijipanga kurudi tena katika chati ya muziki huo hapa nchini ambapo wataanza kutoa burudani siku ya Iddi Mosi watatumbuiza katika ukumbi wa DDC Kariakoo (Old Traford) na Iddi Pili watakuwa Max Bar Ilala Bungoni.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment