Bendi ya Muziki wa Dansi Tanzania Sikinde Ngoma ya Ukaye kwa sasa ipo kambini ikijipanga kurudi tena katika chati ya muziki huo hapa nchini ambapo wataanza kutoa burudani siku ya Iddi Mosi watatumbuiza katika ukumbi wa DDC Kariakoo (Old Traford) na Iddi Pili watakuwa Max Bar Ilala Bungoni.
OJA , JOWUTA KUANDAA KONGAMANO LAKIMATAIFA
-
Dar es Salaam
Ujumbe maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA),
uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Cha...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment