Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Zain, Bi,Beatrice Mallya, wa pili kulia akinywa chai ya asubui na watoto wa kituo cha Neema Maumba Islamick Center kilichopo Buguruni Malapa Dar es Salaam jana wakati wa sikukuu ya iddi iliyoadhimishwa jana kulia ni Mwalimu wa kituo hicho,Bi,Mariamu Dedes na watoto wanaoishi hapo kushoto ni Yusra Omari na Jasmini Kayanga chai hiyo iliandaliwa na Zain.(Picha na Rajabu Mhamila)
IDDI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEE
No comments :
Post a Comment