IDDI MBARAKA...!!!IDDI MBARAKAMbunge wa Ilala Mussa Azani Zungu (kushoto) akinywa chai ya asubui katika kituo cha kulea watoto cha Neema Maumba Islamick Center kilichopo Buguruni Malapa Dar es Salaam jana wakati wa kusheerekea sikukuu ya Iddi iliyoandariwa na Kampuni ya Zain wa pili kushoto ni Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Zain Bw, Ismail Katuma na Katibu wa Mbunge huyo Bw,Said Sultani.(Picha na Rajabu Mhamila)
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Zain, Bi,Beatrice Mallya, wa pili kulia akinywa chai ya asubui na watoto wa kituo cha Neema Maumba Islamick Center kilichopo Buguruni Malapa Dar es Salaam jana wakati wa sikukuu ya iddi iliyoadhimishwa jana kulia ni Mwalimu wa kituo hicho,Bi,Mariamu Dedes na watoto wanaoishi hapo kushoto ni Yusra Omari na Jasmini Kayanga chai hiyo iliandaliwa na Zain.(Picha na Rajabu Mhamila)
IDDI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEIDDI OYEEEEEE
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment