Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 16, 2009

RAISI MSTAAFU ATOA MSAADA KWA YATIMA TABORA AKISHIRIKIANA NA ZAIN

Rais Mstaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi (watatu mstari wa nyuma) katika picha ya pamoja na watoto yatima wa kituo cha Tabora Yatima Centre na wafanyakazi wa Zain Tanzania baada ya Mwinyi kufuturu pamoja na watoto na kuwakabidhi msaada wa vyakula uliotolewa na Zain. Futari hiyo iliandaliwa na Zain ilifanyika mjini Tabora Jumatatu jioni ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Zain kusaidia yatima katika kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

No comments :

Post a Comment