Baadhi ya wazee wa Kijiji cha Kwala Mlandizi Kibaha Pwani wakisubiri kuandikishwa wakati wa uhakiki wa majina kwa ajili ya Mpango wa jamii wa Uwasilishaji fedha kwa kaya masikini na wenye mahitaji maalumu inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)kushoto ni Mwarabu Tengeni, Mlangonde Nyange na Asha Ponanga.(Picha na Rajabu Mhamila)
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment