Baadhi ya wazee wa Kijiji cha Kwala Mlandizi Kibaha Pwani wakisubiri kuandikishwa wakati wa uhakiki wa majina kwa ajili ya Mpango wa jamii wa Uwasilishaji fedha kwa kaya masikini na wenye mahitaji maalumu inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF)kushoto ni Mwarabu Tengeni, Mlangonde Nyange na Asha Ponanga.(Picha na Rajabu Mhamila)
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
13 hours ago
No comments :
Post a Comment