Msemaji wa Klabu ya Simba Cliford Ndimbo amesema hatua hiyo walioichukua yanga ni kutaka kuamishia matatizo yao katika klabu ya Simba kama timu yao inaporoka waangalie marekebisho lakini wasitape tape kumtafuta mchawi.
Amesema kinachotakiwa Yanga iwaambie ukweli wanachama wao sababu za kuboronga na si kuwatupia mzigo wa lawama Simba.
No comments :
Post a Comment