Mkuu wa Kitengo cha udhamini wa Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, Ibrahim Kaude (kushoto) akimsindikiza mchezaji mwenye kipaji aliyechaguliwa kwa ushirikiano wa Vodacom na Global Soccer Star,Francis Casto,kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere,Dar es salaam wakati wa safari yake ya kwenda Ubelgiji,kuendeleza kipaji chake katika timu ya Cecle Brugge.(Picha na Rajabu Mhamila)
OJA , JOWUTA KUANDAA KONGAMANO LAKIMATAIFA
-
Dar es Salaam
Ujumbe maalum kutoka Chama cha Waandishi wa Habari wa Ufalme wa Oman (OJA),
uliopo nchini leo Agosti 19, 2026 umefanya mazungumzo na Cha...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment