Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, September 6, 2009

GWAZA MAPUNDA MWAMUZI WA KIMATAIFA AFARIKI DUNIA

mwamuzi wa soka wa kimataifa Gwaza Mapunda katutoka
TFF imepokea kwa masikitiko kifo cha mwamuzi mstaafu wa kimataifa, Kanali mstaafu Gwaza Mapunda kilichotokea leo alfajiri katika Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam.

Mapunda alikuwa mjumbe wa Kamati ya Waaamuzi na baadaye Kamati ya Mashindano ya TFF kati ya mwaka 2005 – 2008 na pia alikuwa mjumbe wa kamati ya Utendaji ya Chama cha waamuzi FRAT.

Gwaza Mapunda alianza kujihusisha na masuala ya uamuzi mwaka 1974 na aalkuwa mwamuzi wa kimataifa anayetambuliwa na FIFA kati ya mwaka 1980 hadi mwaka 1984.

TFF itashiriki kikamilifu katika msiba huu ulioifika jamii ya mpira.
Mungu ailaze roho ya Marehemu Gwaza Mapunda mahali pema peponi Amina
Fredrick Mwakalaebela
KATIBU MKUU

No comments :

Post a Comment