Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Wednesday, November 23, 2011
BENKI YA POSTA YAZINDUA HUDUMA YA "TPB POPOTE"
Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo (katikati) akibonyeza simuya mkononi ikiwa ni ishara ya kuzindua huduma ya TPB POPOTE, ambayo inamwezesha mteja kupata taarifa mbalimbali, kununuamuda wa maongezi, luku na kutumana kuweka fedha. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu waBenki ya Posta Tanzania, SabasabaMoshingi, ambaye anaangaliaProjector ili kuangalia taarifa za Waziri Mkulo na kulia nimfanyakazi wa benki hiyo. Uzindunzi huo ulifanyika kwenye hoteli yaKilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo. PICHANA MAGRETH KINABO - MAELEZO
Ofisa Mtendaji Mkuu waBenki ya Posta Tanzania, SabasabaMoshingi, akizungumzia kuhusu uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTEulifanyika kwenye hoteli yaKilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo
Kikundi cha burudani cha Simba Theatre akitoa burudani wakati wa uzinduzi wabaada yauzindunzi wa huduma ya TPB POPOTEulifanyika kwenye hoteli yaKilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu waBenki ya Posta Tanzania, SabasabaMoshingi, ( kushoto) akimsikiliza kwa makiniPosta Master Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, JohnMndeme(kulia ) anayesisitiza jambomara baada yauzindunzi wa huduma ya TPB POPOTEulifanyika kwenye hoteli yaKilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Posta Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa watendajimara baada yauzindunzi wa huduma ya TPB POPOTEulifanyika leo kwenye hoteli yaKilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment