Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 23, 2011

BENKI YA POSTA YAZINDUA HUDUMA YA "TPB POPOTE"



Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo (katikati) akibonyeza simu ya mkononi ikiwa ni ishara ya kuzindua huduma ya TPB POPOTE, ambayo inamwezesha mteja kupata taarifa mbalimbali, kununua muda wa maongezi, luku na kutuma na kuweka fedha. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, ambaye anaangalia Projector ili kuangalia taarifa za Waziri Mkulo na kulia ni mfanyakazi wa benki hiyo. Uzindunzi huo ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo. PICHA NA MAGRETH KINABO - MAELEZO
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, akizungumzia kuhusu uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo
Kikundi cha burudani cha Simba Theatre akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, ( kushoto) akimsikiliza kwa makini Posta Master Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania, John Mndeme(kulia ) anayesisitiza jambo mara baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Posta Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa watendaji mara baada ya uzindunzi wa huduma ya TPB POPOTE ulifanyika leo kwenye hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dares Salaam.

No comments :

Post a Comment