Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, November 5, 2011

BONDIA FRANCISI MIYAYUSHO ANDELEA KUSHEREKEA UBINGWA KINONDONI


BOndia Fransic MIyayusho wa pili kulia akiwa katika picha ya pamoja na promota wake Mohamedi Bawaziri na kushoto ni Mdau wa michezo Wilaya ya KInondoni Prosper Mzee pamoja na kocha wake msaidizi kulia
Msanii Recho akiongea wakati wa sherehe ya kumpongeza
Aliyekua mweka azina wa kamati ya ushindi akisoma risara waliyomuandalia mgeni rasmi
Fransic MIyayusho akiwa na baba na mama yake Mzazi
MIyayusho na mama yake Mzazi
Miyayusho na Baba yake mzazi
Bondia Fransic Miyayusho wa pili (kulia) akimkabizi mkanda aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za Ridhaa Nchini(BFT) ambaye sasa ni Mfadhiri wake Meja, David Kyungu kulia wakati wa sherehe ya kumpongeza baada ya kuwa bingwa wa mkanda wa UBO kwa kumtwanga bondia, Mbwana Matumla wa Temeke kulia Promota wake, Mohamedi Bawaziri na Mdau wa michezo wa Wilaya ya Kinondoni Prosper Mzee.

No comments :

Post a Comment