Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 13, 2011

TABORA YAKUMBWA NA UHABA WA MAFUTA SIKU YA NNE




Tatizo la uhaba wa mafuta laukumba mkoa wa Tabora, kwa siku nne hadi leo ambapo madereva wa magari na pikipiki wamekuwa wakihaha kusaka mafuta kila kona ya mji wa Tabora.

Pichani ni baadhi ya madereva wa magari na pikipiki wakia katika foleni ya kusubiri huduma ya mafuta katika moja ya kituo cha mjini humo. Picha naLatestnewstz.blogspot.com

No comments :

Post a Comment