Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
KAMISHNA BADRU KUPUNGUZA MIGOGORO KATI YA WANYAMAPORI NA BINADAMU NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupatikana kwa
madiwani wapya ndani kwa kata zilizopo ndani ya Hifa...
11 hours ago


No comments :
Post a Comment