Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
MSUVA AUNGA MKONO MPANGO WA MAFUNZO WA JAB KUELEKEA AFCON 2027
-
Na Mwandishi Wetu
Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Simon
Msuva, amepongeza mpango wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa H...
3 days ago


No comments :
Post a Comment