Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment