Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
ISIMANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMCHAGUA MRITHI WA LUKUVI
-
*Wananchi wa Kijiji cha Mkungugu jimbo la Ismani katika Halmashauri ya
Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika foleni ya kupiga kura ya
kumchagua Mbu...
22 hours ago


No comments :
Post a Comment