Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
DKT. YONAZI TUKO TAYARI KWA CHAN 2025
-
Dkt. Jim Yonazi aongoza makatibu kukagua viwanja,asema sasa Tanzania
timamu kwa CHAN .
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt....
1 hour ago
No comments :
Post a Comment