Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 21, 2011

BENDI YA TWANGA PEPEPA KUKAMATA WAUZA CD FEKI NCHINI


Mkurugenzi wa bendi ya Afrikan Stars 'Twanga Pepeta' Asha Baraka (kushoto) akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD feki aliyouziwa, Dar es salaam leo ambapo amesema kwa kushirikia na na Kampuni ya Msama watahakikisha wanawasaka na kuwakamata watu wote wanaodurufu kimakosa kazi za wasanii na kuwafikisha mahakamani kwa wizi kulia ni Meneja wa Utawala wa bendi hiyo, Hassani Rehani

No comments :

Post a Comment