Mkurugenzi wa bendi ya Afrikan Stars 'Twanga Pepeta' Asha Baraka (kushoto) akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani) CD feki aliyouziwa, Dar es salaam leo ambapo amesema kwa kushirikia na na Kampuni ya Msama watahakikisha wanawasaka na kuwakamata watu wote wanaodurufu kimakosa kazi za wasanii na kuwafikisha mahakamani kwa wizi kulia ni Meneja wa Utawala wa bendi hiyo, Hassani Rehani
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment