MFALME WA SWEDEN AMUAGA BALOZI MATINYI
-
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa
katika picha ya pamoja na Mfalme wa Sweden, Carl XVI Gustaf, wakati
alipokwenda...
1 day ago


Maendeleo kama haya, yanatakiwa, kwa kuwawezesha wanajamii wa mbeya kupata huduma ya kuhifadhi fedha zao kwa usalama, na kupata mahitaji mengineyo kupitia benki kama hii.
ReplyDeleteTunawapongeza hii benki na iendeleze changamoto yake kwa kuongeza kufungua matawi mengineyo katika mikoa mingine pia, kuwawezesha wananchi kupata huduma kwa urahisi zaidi.
Asante!