BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
Maendeleo kama haya, yanatakiwa, kwa kuwawezesha wanajamii wa mbeya kupata huduma ya kuhifadhi fedha zao kwa usalama, na kupata mahitaji mengineyo kupitia benki kama hii.
ReplyDeleteTunawapongeza hii benki na iendeleze changamoto yake kwa kuongeza kufungua matawi mengineyo katika mikoa mingine pia, kuwawezesha wananchi kupata huduma kwa urahisi zaidi.
Asante!