WAKATI tukielekea katika kusherekea miaka 50 ya Uhuru wetu, ni wakati wako wa kuburudika na kufurahia filamu bora kabisa ya CPU kuanzia tarehe 25 novemba 2011, filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Haak Neel Production kwa kushirikiana na Wegos Works zote za Jijini Dar es Salaam ni filamu ya kipekee, na ni filamu ya kwanza kushirikisha wanataaluma wengi katika tasnia ya filam
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment