Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, November 30, 2011

JERRY MURO SASA YUPO HURU



Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akitoka mahakamani huku akisindikizwa na mkewe Jennifer John (katikati) leo baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam kumwachia huru na kuwafutia mashtaka.
Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano mara baada ya Mahakamani kumwachia huru na kuwafutia mashtaka.

Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akifanya mahojiano na waandishi wa habari mara baada ya kuachiwa huru na kufutiwa kesi na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro akiwa na mkewe Jennifer John huku wakiwa na nyuso za furaha.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijijini Dar es Salaam imemwachia huru na kuwafutia mashtaka aliyekuwa Mtangazaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Jerry Muro pamoja na washtakiwa wenzake wawili ambao ni Edmund Kapama na Deogratius Mgasa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuomba rushwa ya tsh.10 milioni.

Aliyekuwa Mtangazaji wa TBC1, Jerry Muro na wenzake 2, wameachiwa huru leo na hakimu Frank Mosha wa mahakama ya kisutu baada ya kuwaona hawana hatia na makosa waliyoshitakiwa nayo. Jerry na wenzake walikuwa wakikabiliwa na mashitaka matatu ya Kula njama ya kutenda kosa, kuomba rushwa na kujifanya maafisa wa Takukuru, madai ambayo yametupiliwa mbali kwa kukosa ushahidi. picha zaidi za tukio zitawajia hivi punde....stay tuned!

No comments :

Post a Comment