Meneja wa Tawi la Benki ya NBC Mkoa wa Tabora, Henry Mwakasendo (wa pili kulia) akikabidhi funguo ya jengo la bweni la wanafunzi wenye ulemavu la Shule ya Msingi Sikonge, lililojengwa na NBC kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Sikonge ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Moshi Chang’a, shuleni hapo Mkoani Tabora leo. Bweni hilo pamoja na ukarabati wa madarasa mawili ya shule hiyo vimeigharimu NBC kiasi cha shs milioni 67. Kulia ni Mshauri wa Mambo ya Habari wa NBC, Redemptus Masanja na wa pili kushoto ni Ofisa Uhusiano wa benki hiyo, Addie Mhina.
KAMISHNA BADRU KUPUNGUZA MIGOGORO KATI YA WANYAMAPORI NA BINADAMU NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupatikana kwa
madiwani wapya ndani kwa kata zilizopo ndani ya Hifa...
9 hours ago
No comments :
Post a Comment