Meneja wa Tawi la Benki ya NBC Mkoa wa Tabora, Henry Mwakasendo (wa pili kulia) akikabidhi funguo ya jengo la bweni la wanafunzi wenye ulemavu la Shule ya Msingi Sikonge, lililojengwa na NBC kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Sikonge ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Moshi Chang’a, shuleni hapo Mkoani Tabora leo. Bweni hilo pamoja na ukarabati wa madarasa mawili ya shule hiyo vimeigharimu NBC kiasi cha shs milioni 67. Kulia ni Mshauri wa Mambo ya Habari wa NBC, Redemptus Masanja na wa pili kushoto ni Ofisa Uhusiano wa benki hiyo, Addie Mhina. 
RC KUNENGE APIGA KURA AHIMIZA WANANCHI WENGI KUSHIRIKI UCHAGUZI LEO
                                    -
                                  
 
Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Abubakari Kunenge akitekeleza  zoezi la kupiga kura 
leo asubuhi aliposhiriki katika kituo chake  kilichopo Wilayani Kibaha.
Na M...
5 days ago
No comments :
Post a Comment