Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 14, 2011

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA DODOMA MAYAMAYA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya Dodoma - Mayamaya kwenye eneo la Miyuji Novemba 12, 2011. Wanne kushoto ni Waziri wa Ujenzi, John Magufuli na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu na Mbunge wa Kigoma Mjini Peter Serukamba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe wakati akiweka jiwe la Msingi la ujenzi wa barabara ya Dodoma - Mayamaya kwenye eneo la Miyuji Novemba 12, 2011. Kulia kwake ni Waziri wa Ujenzi, John Magufuli . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment