Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, November 10, 2011

BONDIA WA ZAMANI MPINZANI WA MUHAMMAD ALI JOE FRASIER AFARIKI DUNIA




Bondia wa zamani mkali wa masumbwi, Joe Frasier, aliyekuwa mpinzani mkubwa wa Bondia machachari, Muhammad Ali, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo kwa kile kilichoelezwa kuwa alikuwa akisumbuliwa na na ugonjwa wa Saratani ya Ini.

Joe amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 67.

Pichani juu Hayati Joe (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na mpinzani wake Muhammad Ali, enzi za uhai wake pamoja na Promota wao Don King, kabla ya pambano lao lililofanyika Mwaka 1971, ambapo katika pambano hilo Joe alimtwanga Muhammad Ali, ambapo Muhammad Ali pia alikuja 'kurivange' baada ya miaka minne baadaye.

Mungi aiweke roho ya marehemu Joe mahala pema peponi Ameeeeen.
Marehemu Joe Frasier, akipozi enzi za uhai wake.

No comments :

Post a Comment