Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 28, 2011

RAIS DK JAKAYA KIKWETE MARA BAADA YA MKUTANO WAKE NA KAMATI YA CHADEMA JANA



Rais Dk. Jakaya Kikwete akiagana na viongozi wa Kamati ya CHADEMA baada ya mkutano wa jana wa na JK na kamati ya Uongozi ya CHADEMA iliyokwenda kumuona kuzungumzia mchakato wa katiba.
Baada ya maongezi marefu yaliyodumu kwa takriban masaa mawili na nusu, mwenyeji aliwakaribisha wageni wake juisi na chai na kahawa kabla ya kuagana nao kwa furaha
na kuwaomba waende tena kesho Ikulu saa nne ili baada ya kujadiliana na timu yake ya Serikali, maongezi yaendelee
Rais Dk Jakaya Kikwete akiagana na mmoja wa wanakamati huku Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akifurahia jambo.

Rais Dk Jakaya Kikwete akiagana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi wa Serikali na Mawaziri waliohudhuria katika kikao hicho.

Rais Dk Jakaya Kikwete akifurahia jambo wakati alipokuwa akiongea na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
Rais Dk Jakaya Kikwete akifurahia akizunguma n akamati hiyo jana.
Rais Dk Jakaya Kikwete akimpa glasi ya juisi Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA Freeman Mbowe.

Rais Dk Jakaya KikweteJakaya Kikwete na ujumbe wakiwa katika mkutano na kamati ya CHADEMA jana Ikulu jijini Dar es salaam.

No comments :

Post a Comment