Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, November 5, 2011

Waziri Membe afunga mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara ya mambo ya nje



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara hiyo Matlida Masuka ambaye ni mfanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini China. Mafunzo hayo ya wiki tatu yaliandaliwa na Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
Picha na Anna Nkinda - Maelezo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara hiyo Judica Nagunwa ambaye ni mfanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Ufaransa. Mafunzo hayo ya wiki tatu yaliandaliwa na Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara hiyo Innocent Shiyo ambaye ni mfanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya. Mafunzo hayo ya wiki tatu yaliandaliwa na Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara hiyo Abdallah Kilima ambaye ni mfanyakazi wa ofisi ya Ubalozi wa Tanzania katika nchi za falme ya Kiarabu. Mafunzo hayo ya wiki tatu yaliandaliwa na Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya wiki tatu ya kuwajengea uwezo wa kazi maafisa waandamizi wa wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Waziri wa wizara hiyo Bernard Membe (hayupo pichani) wakati akifunga mafunzo hayo. Washiriki wa mafunzo hayo ni maafisa waandamizi wa ofisi za balozi za Tanzania na maafisa wa wizara hiyo.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe (watano kutoka kushoto mstari wa mbele ) akiwa katika picha ya pamoja na maafisa waandamizi wa ofisi za balozi za Tanzania na maafisa wa wizara hiyo waliomaliza mafunzo ya wiki tatu ya kuwajengea uwezo wa kazi yaliandaliwa na Chuo cha Diplomasia kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam.
http://fullshangwe.blogspot.com

No comments :

Post a Comment