Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 20, 2011

SERENGETI YAANDAA HAFLA KWA WANAHABARI KUPATA MAONI KABLA YA MASHINDANO YATUSKER CECAFA CHALLENGE CUP



Mkurugenzi wa Kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers (SBL) Richard Wells akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari na waandishi wa habari waandamizi wa michezo katika hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika hoteli ya JB Bellmonte jijini Dar es salaam mchana wa leo. Lengo la Mazungumzo hayo ilikuwa ni kujadili mambo mbalimbali na kupata mchango wa mawazo kwa wanahabari kabla ya kufanyika kwa mashindano ya TUSKER SECAFA CHALLENGE CUP 2011yatakayoanza hivi karibuni jijini Dar es salaam. (PICHA ZOTE NA MOHAMED MAMBO)
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Ephraima Mafuru akimkaribisha mkurugenzi wa kampuni hiyo ili kutoa maneno machache katika hafla hiyo.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Tanzania TFF Angetile Osiah naye alipata muda wa kuongea kidogo katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Serengeti Breweriers Teddy Mapunda akizungumza katika hafla hiyo katika hoteli ya JB Bellmonte jijini Dar es salaam.
Wanahabari wakijipakulia misosi wakati wa hafla hiyo iliyofanyika kwenye hoteli ya JB Bellmonte jijini Dar es salaam leo.
Umakini ulikuwa muhimu hapa kama wanavyoonekana katika picha wakimsikiliza Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto hayupo pichani , kutoka kulia ni Richard Wells Mkurugenzi wa (SBL), Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) na Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko (SBL).
Kutoka kulia Juma Pinto Mwenyekiti wa TASWA, Richard Wells Mkurugenzi wa (SBL), Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) na Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko (SBL).
Mkurugenzi wa SBL Richard Wells akijadili jambo na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda katikati na Meneja wa Mahusiano ya Jamii Nandi Mwiyombela kushoto.
Mkurugenzi wa Sports Radio FM Abdallah Majura akijadiliana jambo na waandishi wa habari wenzake katika hafla hiyo, aliyenimama nyuma ya Abdallah Majura ni Meneja Mawasiliano Serengeti Breweriers Imani Lwinga.

No comments :

Post a Comment