Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akizindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NBC mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kushoto ni CEO wa NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu).
KAMISHNA BADRU KUPUNGUZA MIGOGORO KATI YA WANYAMAPORI NA BINADAMU NGORONGORO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 na kupatikana kwa
madiwani wapya ndani kwa kata zilizopo ndani ya Hifa...
9 hours ago
No comments :
Post a Comment