Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, November 10, 2011

Kampuni ya TTCL katika Maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru




Wanafunzi kutoka shuleza sekondari wakiwa katika banda la Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) lililopo Manzi Mmoja jijini Dar es Salaam yanapoendelea maonesho ya Miaka 50 ya Uhuru. TTCL ni miongoni mwa makampuni ya mwanzo ya huduma ya mawasiliano nchini. Maonresho haya yameandaliwa na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia.
Hiki ndo kizazi ambacho haswakina pendakupata historia halisi ya Uhuru wa Tanganyika, miongoni mwa Makampuni ya Mwanzo ni TTCL na hapa wanafunzi wakipata zawadi na vipeperushi juu ya Historia ya Kamouni hiyo.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk. Makame Mbarawa pamoja na viongozi wengine wa Wizara (kulia) wakipata maelezo ya historia ya TTCL hapo zamani.

No comments :

Post a Comment