Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, November 11, 2011

Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia



Fundi wa kampuni ya simu Tanzania (TTCL), Issa Mohamed akionyesha simu ya kuzungumsha kwa mkono iliyokuwa ikitumika mwaka 1973 wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yaliyomalizika leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam . Kushoto ni Mhandisi, Dominick Ngandama na Ofisa Uhusiano wa TTCL, Amanda Luhanga.

Baadhi ya watu waliofika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia wakuapata maelezo kati
Ofisa Mkongo wa Taifa, Thomas Lemunge akionyesha ramani inayoonyesha mikoa iliyounganishwa na mkongo wa taifa.
Simu za Mezani zilizotumika enzi hizo
Fundi wa TTCL, Issa Mohamedi akionyesha Simu za kisasa
Ofisa Biashara wa TTCL Adam Issah akitoa maelezo kuhusu huduma wanazozitoa

No comments :

Post a Comment