Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Future Century Ltd, Hellene Masanja (kushoto) akikabidhi jezi, viatu na vifaa vingine vya michezso kwa kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Stewart Hall (wa pili kulia) na Nahodha Msaidizi wa Heroes, Nadir Haroub ‘Canavaro’ (kulia) kwa ajili ya maandalizi ya timu hiyo katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati (CECAFA). Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mjumbe Kamati Tendaji ya Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Abdalla Thabit Juma.  Heroes inatarajiwa kuondoka jijini humo kesho kuelekea Misri kucheza mechi za majaribio za kimataifa kama sehemu ya maandalizi hayo.
RC KUNENGE APIGA KURA AHIMIZA WANANCHI WENGI KUSHIRIKI UCHAGUZI LEO
                                    -
                                  
 
Mkuu wa Mkoa wa Pwani  Abubakari Kunenge akitekeleza  zoezi la kupiga kura 
leo asubuhi aliposhiriki katika kituo chake  kilichopo Wilayani Kibaha.
Na M...
5 days ago
No comments :
Post a Comment