Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, November 6, 2011

Zanzibar Heroes kwenda Misri kwa maandalizi ya CECAFA


Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Future Century Ltd, Hellene Masanja (kushoto) akikabidhi jezi, viatu na vifaa vingine vya michezso kwa kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Stewart Hall (wa pili kulia) na Nahodha Msaidizi wa Heroes, Nadir Haroub ‘Canavaro’ (kulia) kwa ajili ya maandalizi ya timu hiyo katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati (CECAFA). Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mjumbe Kamati Tendaji ya Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Abdalla Thabit Juma. Heroes inatarajiwa kuondoka jijini humo kesho kuelekea Misri kucheza mechi za majaribio za kimataifa kama sehemu ya maandalizi hayo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Future Century Ltd, Hellene Masanja (kushoto) na kocha wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Stewart Hall wakiangalia moja ya jezi zilizokabidhiwa na kampuni hiyo kwa ajili ya maandalizi ya Zanzibar Heroes katika mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati (CECAFA). Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo. Wa pili Kulia ni Nahodha Msaidizi wa Heroes, Nadir Haroub ‘Canavaro’ na Mjumbe Kamati Tendaji ya Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Abdalla Thabit Juma. Zanzibar Heroes inatarajiwa kuondoka jijini humo kesho kuelekea Misri kucheza mechi za majaribio za kimataifa kama sehemu ya maandalizi hayo.

No comments :

Post a Comment