Mwimbaji wa Mziki wa KIzazi Kimpya ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjiji, Josephe MBilinyi (Sugu) katikati akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuusu tamasha la burudani kwa mashabiki litakalofanyika, Novenba 26 katika viwanja vya ustawi wa jamii Kijitonyama (kushoto) ni msanii Fred Malik (Mkoloni) na Zainabu Lipagile (Zay B)
TMA YANG'ARA MAONESHO YA NANE NANE 2025.
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya
Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA
kupitia...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment