Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, May 9, 2012

BONDIA SELEMANI KIDUNDA AFUZU KUSHIRIKI MASHINDANO YA OLIMPIKI


 Makamu Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa nchini Michael Changalawe akipa mkono bondia Selemani Kidunda wakati wa kumpongeza baada ya kufuzu katika mashindano ya Olimpik yanayotarajia kufanyika hivi karibuni.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.comwww.superdboxingcoach.blogspot.com
Makamu Mwenyekiti wa chama cha ngumi za ridhaa nchini Michael Changalawe akitoa nasaa zake kwa mabondia wa timu ya Taifa  wakati wa kumpongeza  bondia Selemani Kidunda baada ya kufuzu katika mashindano ya Olimpik yanayotarajia kufanyika hivi karibuni.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.comwww.superdboxingcoach.blogspot.com
Kocha David Yombayomba kushoto akimpongeza bondia Selemani Kidunda wakati wa kumpongeza baada ya kufuzu mashindano ya Olipiki yanayotarajia kufanyika hivyi karibuni
Baadhi ya mabondia,viongozi na makocha wakiwa wameweka mikono kwa pamoja kwa ajili ya kumuombea dua bondia Selemani Kidunda atakaewakilisha Taifa katika Mashindano ya Olimpiki

No comments :

Post a Comment