Na Mwandishi Wetu
BON DIA Thomasi Mashali  yupo katika 
maandalizi mazito ya kumkabili bondia kutoka kenya Henry Wandera Novemba
 mosi katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam
akizungumza wakati wa mazoezi yake 
juzi Mashali amesema kuwa yupo fiti wakati wowote yeye kufanya kazi 
hivyo aofii ata kiogo mpambano huo na kuwataka mashabiki wake waje waone
 anavyo mgalagaza vibaya sana siku hiyo mkenya Wandera
mbali na mpambano huo siku hiyo 
kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi yatakayo wakutanisha Mbayo 
Ilunga na Fred Sayuni wakati Joseph Mbowe ataoneshana umwamba na Saidy 
Salum na Ramadhani Johncena ataoneshana ubabe na Baina Mazola
na mipambano mingene mikali zaidi siku hiyo kutakuwa na michezo ya utangulizi zaidi ya nane yenye raundi sita sita
No comments :
Post a Comment