Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 20, 2014

MABONDIA WALIVYO CHAPANA KIN'GONGO KIMARA




 Bondia Stevin Kobelo kushoto akioneshana umwamba na Ally Jaka wakati wa mpambano wao uliofanyika kimara king'ongo Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita Kobelo alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
 Bondia Julius Kisalawe kushoto akipambana na Issa Mangweni wakati wa mpambano wao Kisalawe alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
Bondia Azizi Abdallah kulia akipokea DVD ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kutoka kwa Katibu wa Afya na mazingira katika kata ya kin'gongo Yusuph Malipula picha na SUPER D BLOG

No comments :

Post a Comment