Bondia Ally Bugingo akipima uzito kwa 
ajili ya mpambano wake na Amani Bariki 'Manny Chuga' mpambano 
utakaofanyika Oktoba 25 katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es 
salaam katikati ni Antony Rutta picha na SUPER D BLOG
Bondia Sadiki Nuru akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho jumamosi
Bondia Said Mbelwa akipima uzito kwa 
ajili ya mpambano wake utakaofanyika kesho oktoba 25 katika ukumbi wa 
frends corner manzese ambapo anapambana na George Dimoso mpambano wa 
raundi nane picha na SUPER D BLOG
Bondia Fadhili Boika kushoto 
akitunishiana misuli na Robinson Msimbe baada ya kupima uzito kwa ajili 
ya mpambano wao utajkaofanyika jumamosi ya oktoba 25 katika ukumbi wa 
Frends Corne Manzese Dar es salaam picha na SUPER D BLOG
Mwandishi Wetu
MPAMBANO wa mchezo wa masumbwi mkali utakaokutanisha mabondia mbalimbali kutoka kila kona ya Tanzania utafanyika 

No comments :
Post a Comment