Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, February 25, 2012

MATUMLA AMSAMBALATISHA MTAMBO WA GONGO






)
Refarii Antoni Luta katikati akimnyoosha mkono juu bondia Rashidi Matumla Snake Man kuashiria ushindi dhidi ya mpinzani wake maneno Osward Mtambo wa Gongo kushoto wakati wa mpambano wao uliochezwa Jumamosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Matumla alishinda kwa point.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/





Mabondia Maneno Osward Mtambo wa Gongo (kushoto) na Rashid Malumla Snake Man Wakioneshana umwamba wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao uliochezwa Jumamosi katika ukumbi wa PTA Sabasaba Matumla alishinda kwa point.(Picha na www.superd boxingcoach.blogspot.com)

Date: 2012-02-25Venue: PTA Hall, Dar es Salaam , TanzaniaCommission: Pugilistic Syndicate of TanzaniaPromoter: Issa Malanga Promotion [1] Lightfly weight Moses Musa WPTS 4 rounds of a 4 rounder VS Fred Cloud- Referee: Ramadhan Basta 39 - 37 [2] Super Featherweight 6 roundsShomari Mirundi DREW 4 rounds of a 4 rounder VS Mohammed Kashinde- Referee: Pembe Ndava 38 - 38 [3] Super Bantamweight 4 roundsMuhidini Ndolanga WPTS 4 rounds of a 4 rounderVS Shukuru Said- Referee: Ramadhan Basta 40 - 36 [4] Light Welterweight Hamis Mputeni WKO round 2 of a 6 rounder VS Rashid Makali- Referee: Pembe Ndava; Judges:Ramadhan Basta, Emmanuel Mlundwa, Anthony Ruta [5] Flyweight 6 roundsHassani Kiwale WTKO round 2 of a 6 rounder VS Mawazo Kanju- Referee: Emmanuel Mlundwa Judges: Pembe Ndava , Ramadhan Basta, Anthony Ruta [6] Super Middleweight 6 roundsIdd Kigula WTKO round 4 of a 6 rounder VS Shabani Kaineko- Referee: Emmanuel Mlundwa Judges: Pembe Ndava , Ramadhan Basta, Anthony Ruta [7] Female Boxing Middle/Super MiddleMonica Mwakasanga WPTS 4 rounds of a 4 rounder VS Furaha Nganda - Referee: Emmanuel Mlundwa 40 - 36 [8] Super Middleweight 10 roundsRashid Matumla WPTS 10 rounds of a 10 rounder VS Maneno Oswald- Referee/Judge: Anthony Ruta 97 - 93; Judges: Pembe Ndava 95 - 95, Ramadhan Basta 97 – 95

No comments :

Post a Comment