Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 24, 2012

Terry Connor sasa meneja wa Wolves

Klabu ya Wolves imempandisha cheo meneja msaidizi wa Wolves.

Terry Connor sasa atashikilia madaraka hayo ya meneja hadi mwisho wa msimu.

Klabu kilimfuta kazi Mick McCarthy tarehe 13 Februari mara tu baada ya kushindwa magoli 5-1 na mahasimu wao West Brom.

Wolves wameamua kumpandisha cheo Connor baada ya Walter Smith, Alan Curbishley na Brain McDermott kuamua hawaitaki kazi hiyo ya kuiongoza Wolves.

"Hii ni hatua muwafaka ambayo ina msimamo halisi. Wachezaji wanaiunga mkono kikamilifu", ameelezea tajiri anayemiliki klabu ya Wolves, Steve Morgan.

"Tangu tulipofanya uamuzi kwa shida kuachana na Mick, tumepitia utaratibu kwa makini katika kumchagua mtu atakayefaa.

"Baada ya kushauriana na watu kadha katika utaratibu huu, mimi na bodi tumeamua kwa pamoja Terry ndiye mtu atakayefaa kukiongoza klabu hadi mwisho wa msimu".

No comments :

Post a Comment