Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 24, 2012

MPIGAPICHA JOHN BADI WA THIS DAY AFIWA NA MAMA MZAZI



Wapendwa naomba niwafikishie taarifa ya Msiba wa Mama yake Mzazi John Hans Badi - Mpigapicha wa Magazeti ya This Day na Kulikoni.
Kifo kilitokea jana jioni katika Hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa.
Msiba upo Morocco kama unaelekea Kawe mkono wa kushoto ukitoka tu katika mataa.
Mawasiliano zaidi John H Badi 0712155221. Tumpe faraja ndugu yetu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Mroki Mroki C.E.O MD Digital Company & FK Blog
General Secretary PPAT
Professional Photojournalist & BLOGGER
P.O.BOX 110097,

Mob: +255 755 373999 /+255 717 002303,
Email: mrokim@gmail.com.
Blog: www.mrokim.blogspot.com
DAR ES SALAAM, TANZANIA

No comments :

Post a Comment