Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 12, 2012

KANUMBA AKAMILISHA KIJIJI CHA TAMBUA HAKI






Kanumba akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi huo.

...Akiwa na viongozi wa Policy Forum. Kushoto ni Mwenyekiti Mwenza Serikali za Mitaa wa Policy Forum, Hendroni Mwakagenda na ofisa mwingine wa taasisi hiyo, Alex Modest, wakiitambulisha filamu hiyo.

...Akielezea muktadha wa filamu hiyo ambayo sehemu kubwa inahusu matukio yaliyochukuliwa vijijini.

MCHEZA sinema maarufu nchini, Steven Kanumba, kwa kushirikiana na Taasisi ya Policy Forum wameandaa filamu mpya inayokwenda kwa jina la Kijiji cha Tambua Haki.
Kanumba aliitambulisha rasmi leo filamu hiyo inayotarajiwa kuingia sokoni mapema mwezi huu jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment