Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, February 28, 2012

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAADHIMISHA SIKU YA WADAU KWA KUTOA MSAADA WA MASHUKA 700 KWA HOSPITALI NA VITUO VYA AFYA MKOANI MBEYA

Naibi
Mkurugenzi
Mkuu wa NHIF, Hamis Mdee, akitoa msaada wa Mashuka kwa Mganga
Mfawidhi wa
Kituo cha Afya cha Ruanda kinachotoa huduma kwa kinamama
Wajawazito, Eliot
Sanga, wakati ujumbe huo ulipofika katika kituo hicho
kukabidhi misaada
msaada huo leo Jijini
Mbeya.
Mjumbe
wa Bodi ya
Wakurugenzi ya NHIF, Mariam More, akikabidhi sehemu ya mashuka kwa
ajili ya
baadhi ya Wodi za Hospiali hiyo wakati wa hafla fupi ya makabidhiano
hayo
iliyofanyika leo jijini Mbeya. Jumla ya Mashuka 700 yalikabidhiwa
katika
hafla hiyo leo.ANAYEPOKEA KATIBU WA AFYA WA HOSPITALI HIYO BI
DORICE
NZIGIRWA
Mjumbe
wa Bodi ya Wakurugenzi
wa NHIF, Mariam More (kushto) akitandika moja ya shuka
katika kitanda
kilichopo Wodi ya Wazazi kwenye Hospitali ya Igawilo baada ya
kukabidhi
msaada wa mashuka.ANAYEMSAIDIA NI NESI MWANDAMIZI BI
DORICE
MWAKABENGA
.
Huyu
si Mume Bwege bali ni mume
anayeelewa majukumu ya Familia vilivyo, huu ni mfano
bora kwa wanaume
ulioonyeshwa na kidume huyu aliyejulikana kwa jina la Gibson
Mwalibwa, akiwa
na mtoto wake mgongoni wakati akitoka kupata huduma ya afya
katika kituo
hicho

No comments :

Post a Comment