Mabondia wa Uzito wa juu, Obadia Mwangi kutoka Kenya (kushoto) na Alphpnce Mchumiatumbo wa Tanzania, wakitunishiana misuri baada ya kupima uzito, Dar es salaam mabondia hawo watapambana kesho katika ukumbi wa Frensi Kona Manzese katikati ni Mratibu wa pambano hilo Huseni Omari.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment