Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, February 18, 2012

AIRTEL YATOA MAFUNZO KWA MAWAKALA JUU YA HUDUMA YA AIRTEL MONEY





Afisa mauzo wa Airtel Tanzania kitengo cha Airtel Money Bahati Straton akitoa mafunzo kuhusu huduma ya Airtel money kwa mawakala mbalimbali kutoka Mkoa wa Dar es Saalam lengo likiwa ni kuwaelimisha wadau hawa kuhusu huduma ya pesa mkononi na kuboresha uelewa wa huduma hiyo kwa watumiaji na wafanyabiashara, semina hiyo ilifanyika katika makao makuu ya Airtel Morroco.


Bwana Abdallah Litumbui wakala wa Airtel money Msimbazi Kariakoo akiuliza swali juu ya huduma ya Airtel Money wakati wa seminar ya Airtel money iliyoandaliwa ikiwa na lengo la kuwaelimisha mawakala zaidi kuhusu huduma ya Airtel Money , semina hii iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel Moroco na kuhudhuriwa na mawakala wengi kutoka Dar es Saalam.


Bwana Salim Mwinyimanzi wakala wa Airtel money Kibada Kibagomboni akichangia hoja kuhusu huduma ya Airtel Money wakati wa seminar ya Airtel money iliyoandaliwa kwa lengo la kuwaelimisha mawakala zaidi kuhusu huduma ya Airtel Money , semina hii iliyofanyika katika makao makuu ya Airtel Moroco na kuhudhuriwa na mawakala wengi kutoka Dar es Saalam.

No comments :

Post a Comment