Kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza hapo nyuma blogu yako ya Mamapipiro ilishindwa kuendelea na utendaji wake, nawaomba radhi wadauwangu wote ambao mlikosa kupata matukio muhimu ya michezo na burudani kwa zaidi ya wiki moja,hivyo kwa sasa mambo yamekaa sawa hivyo endeleeni kuperuzi blogu yenu kwa habari kem kem za michezo na burudani kupitia www.mamapipiro.blogspot.com.
RAIS MWINYI:MAFANIKIO YA SERIKALI YAMETOKANA NA MCHANGO WA BARAZA LA
WAWAKILISHI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe. Dkt. Hussein Ali
Mwinyi amesema kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika Serikali ya
Awamu...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment