Kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza hapo nyuma blogu yako ya Mamapipiro ilishindwa kuendelea na utendaji wake, nawaomba radhi wadauwangu wote ambao mlikosa kupata matukio muhimu ya michezo na burudani kwa zaidi ya wiki moja,hivyo kwa sasa mambo yamekaa sawa hivyo endeleeni kuperuzi blogu yenu kwa habari kem kem za michezo na burudani kupitia www.mamapipiro.blogspot.com.
MKOA WA PWANI WENYEJI MICHUANO YA RIADHA KITAIFA 2026
-
Mkoa wa Pwani unayo heshima ya kuwa mwenyeji wa Mashindano ya Riadha
Kitaifa 2026, yatakayoanza Julai 3, 2026 katika Viwanja vya Filbert Bayi,
eneo la P...
17 hours ago

No comments :
Post a Comment