Kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza hapo nyuma blogu yako ya Mamapipiro ilishindwa kuendelea na utendaji wake, nawaomba radhi wadauwangu wote ambao mlikosa kupata matukio muhimu ya michezo na burudani kwa zaidi ya wiki moja,hivyo kwa sasa mambo yamekaa sawa hivyo endeleeni kuperuzi blogu yenu kwa habari kem kem za michezo na burudani kupitia www.mamapipiro.blogspot.com.
DKT.MWINYI AAHIDI UWEKEZAJI MKUBWA BWAWANI , KUIMARISHA MJI MKONGWE
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali M...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment