Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, February 12, 2012

RASHIDI MATUMLA AOMBA KUSAPOTIWA NA KAMBI YA ILALA AFULIWA KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE MWINGINE NA MANENO OSWARD



Kocha Mkongwe wa mchezo wa masumbwi Nchini , Habibu Kinyogoli (kushoto) akimwelekeza bondia Rashidi Matumla 'Snake Man' jinsi ya kurusha Ngumi wakati bondia huyo alipotembelea kwa ajili ya kujifua katika Kambi ya ILala, Dar es salaam jana Matumla anajiandaa na mpambano wake mwingine dhidi ya Maneno Osward litakalofanyika tareha 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)Kocha Mkongwe wa mchezo wa masumbwi Nchini , Habibu Kinyogoli (kulia) akimwelekeza bondia Rashidi Matumla 'Snake Man' jinsi ya kurusha Ngumi wakati bondia huyo alipotembelea kwa ajili ya kujifua katika Kambi ya ILala, Dar es salaam jana Matumla anajiandaa na mpambano wake mwingine dhidi ya Maneno Osward litakalofanyika tareha 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Kocha Mkongwe wa mchezo wa masumbwi Nchini , Habibu Kinyogoli (kulia) akimwelekeza bondia Rashidi Matumla 'Snake Man' jinsi ya kurusha Ngumi wakati bondia huyo alipotembelea kwa ajili ya kujifua katika Kambi ya ILala, Dar es salaam jana Matumla anajiandaa na mpambano wake mwingine dhidi ya Maneno Osward litakalofanyika tareha 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Kocha Mkongwe wa mchezo wa masumbwi Nchini , Habibu Kinyogoli (kulia) akimwelekeza bondia Rashidi Matumla 'Snake Man' jinsi ya kurusha Ngumi wakati bondia huyo alipotembelea kwa ajili ya kujifua katika Kambi ya ILala, Dar es salaam jana Matumla anajiandaa na mpambano wake mwingine dhidi ya Maneno Osward litakalofanyika tareha 25 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments :

Post a Comment