Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 13, 2012

Print conversation Print Open conversation in new window New window WANAHABARI WASHINDANA KUONJA BIA TBL



Mtangazaji wa Redio ya Clouds FM, Alex Lwambano akitofautisha rangi za bia kwa kuangalia wakati wa mashindano ya kuonja ladha ya bia yaliyoandaliwa na Ka mpuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Makao Makuu ya TBL mwishoni mwa wiki. Walioibuka washindi katika kinyang'anyiro hicho ni; Mpigapicha wa gazeti la Tanzania Daima, Francis Dande (nafasi ya kwanza), Mpigapicha wa gazeti la Mwananchi, Venance Nestori (nafasi ya pili) na Clifod Ndimbo wa Radio Times FM aliyeambulia nafasi ya tatu.

No comments :

Post a Comment