Mtangazaji wa Redio ya Clouds FM, Alex Lwambano akitofautisha rangi za bia kwa kuangalia wakati wa mashindano ya kuonja ladha ya bia yaliyoandaliwa na Ka mpuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Makao Makuu ya TBL mwishoni mwa wiki. Walioibuka washindi katika kinyang'anyiro hicho ni; Mpigapicha wa gazeti la Tanzania Daima, Francis Dande (nafasi ya kwanza), Mpigapicha wa gazeti la Mwananchi, Venance Nestori (nafasi ya pili) na Clifod Ndimbo wa Radio Times FM aliyeambulia nafasi ya tatu.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment