Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, February 29, 2012

SIMBA KUZINDUA TELEVISHENI YAKE









Klabu kongwe ya soka Tanzania, Simba Sports Club, imetangaza kuzindua Tv yake itakayokwenda kwa jina Simba TV.




Akitangaza leo kwenye makao makuu ya Klabu hiyo, mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam, Ofisa Habari wa 'Mnyama' huyo Ezekiel Kamwaga amesema uzinduzi wa Luninga hiyo unatarajiwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii katika hoteli ya JB Belmont katika jengo la Benjamin Mkapa katikati ya jiji la Dar es Salaam.




Kamwaga amesema, Simba Tv itakuwa ikirushwa kupitia kituo cha Clouds Tv na kwamba wakati wa uzinduzi kutakuwa na burudani mbalimbali hukuzikionyeshwa documentary maalum inayohusu klabu hiyo.




"Hafla hii itakuwa ni kwa waalikwa huku wengine watakaopenda kuhudhuria watapaswa kulipa shilingi 70,000

No comments :

Post a Comment