Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 24, 2012

BENDI YA MACHOZI YA LADY JAY DEE YAPATA NEMBO YA BIDHAA BARCODES



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (kulia) akimkabidhi Gadna Habash kiongozi wa Bendi ya Machozi, ya Judith Wambura Lady Jay Dee, nembo ya mistari ya bidhaa BARCODES katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam. Nembo hiyo imetengezwa na kampuni ya GSI
Gadna akizungumza baada ya kupokea nembo hiyo ya biashara
Gadna (wa pili kulia) akionesha moja ya albamu ya nyimbo za bendi ya machozi ambayo ina nembo hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey
Wafanyakazi wa kampuni ya GSI wakiwa katika picha ya pamoja na Gadna Habash
Gadna akibadilishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Uanachama wa TPSF, Louis Accaro

No comments :

Post a Comment