Mbunge wa viti maalumu kundi la vijana mkoa wa Mara, Ester Bulaya
akikabidhi jezi na mpira kwa wenyeviti na makatibu wa vijana wa CCM
wilaya ya Butiama kwenye hafra fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chama
cha Mapinduzi mjini Musoma. (Picha na Berensi Alikadi)
NGORONGORO YANADI UTALII MKUTANO WA MAHAKIMU NA MAJAJI DODOMA
-
Na Mwandishi wetu, Dodoma.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki mkutano mkuu wa Chama
cha Mahakimu na Majaji Tanzania kwa lengo la kunadi ...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment