Mbunge wa viti maalumu kundi la vijana mkoa wa Mara, Ester Bulaya
akikabidhi jezi na mpira kwa wenyeviti na makatibu wa vijana wa CCM
wilaya ya Butiama kwenye hafra fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chama
cha Mapinduzi mjini Musoma. (Picha na Berensi Alikadi)
WAZIRI KOMBO AINADI DIRA YA ZANZIBAR KUWA KITOVU BORA CHA KIFEDHA AFRIKA
MASHARIKI JIJINI LONDON
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo, ameinadi dira ya Tanzania ya kuifanya Zanzibar kuwa
kitovu b...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment