Mbunge wa viti maalumu kundi la vijana mkoa wa Mara, Ester Bulaya
akikabidhi jezi na mpira kwa wenyeviti na makatibu wa vijana wa CCM
wilaya ya Butiama kwenye hafra fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chama
cha Mapinduzi mjini Musoma. (Picha na Berensi Alikadi)
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment