Mbunge wa viti maalumu kundi la vijana mkoa wa Mara, Ester Bulaya
akikabidhi jezi na mpira kwa wenyeviti na makatibu wa vijana wa CCM
wilaya ya Butiama kwenye hafra fupi iliyofanyika kwenye ukumbi wa Chama
cha Mapinduzi mjini Musoma. (Picha na Berensi Alikadi)
YANGA YAANZA VIZURI MASHINDANO YA CAF.
-
Kwa mara ya kwanza YANGA imefuta uteja wa kushindwa kupata matokeo mechi
za kwanza za makundi katika michuano ya kimataifa.
Ushindi wa goli moja ulitos...
1 day ago
No comments :
Post a Comment