Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi
akizungumza na Viongozi pamoja na Vijana wanaoishi katika Nyumba za
kurekebisha
Tabia kwa watu waliokuwa wakitumia dawa za kulevya { Sober
House } hapo Nyarugusu Wilaya ya Magharibi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali
Iddi akimkabidhi
Baskeli Kijana Mlemavu Badri Ameir Issa ambayo itamsaidia katika
harakati zake
za Kimaisha. Msaada huo amekabidhiwa hapo Nyumba ya kurekebishia Tabia
iliyopo
Nyarugusu Shehia ya Pangawe Wilaya ya Magharibi. Kulia
yao ni Mlezi Mkuu wa
Nyumba hizo Bibi Fatma Sukwa.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar balozi Seif Ali
Iddi
akimkabidhi vyakula Mshauri Mkuu wa
Nyumba saba za kurekebishia Tabia Unguja na Pemba Bibi
Fatma Sukwa kwa ajili ya kusaidia Vijana wa
nyumba hizo. Wam,wanzo kulia yao ni mlezi wa
Nyumba ya
kurekebishia watu waliotumia dawa za kulevya ya
Mtaa wa Nyarugusu Shehia ya Pangawe Bwana Badru Nassor Ali.
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment