Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 19, 2012

SERIKALI YA ZANZIBAR WASAIDIA NYUMBA YAKULEA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi pamoja na Vijana wanaoishi katika Nyumba za kurekebisha Tabia kwa watu waliokuwa wakitumia dawa za kulevya { Sober House } hapo Nyarugusu Wilaya ya Magharibi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Baskeli Kijana Mlemavu Badri Ameir Issa ambayo itamsaidia katika harakati zake za Kimaisha. Msaada huo amekabidhiwa hapo Nyumba ya kurekebishia Tabia iliyopo Nyarugusu Shehia ya Pangawe Wilaya ya Magharibi. Kulia yao ni Mlezi Mkuu wa Nyumba hizo Bibi Fatma Sukwa.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi  vyakula Mshauri Mkuu wa Nyumba saba za kurekebishia Tabia Unguja na Pemba  Bibi Fatma Sukwa  kwa ajili ya kusaidia Vijana wa nyumba hizo.     Wam,wanzo kulia yao ni mlezi wa Nyumba ya kurekebishia watu waliotumia dawa za kulevya ya  Mtaa wa Nyarugusu Shehia ya Pangawe Bwana Badru Nassor Ali.

No comments :

Post a Comment