Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 19, 2012

MAANDAMANO KUTOKA MISIKITI MBALIMBA JIJINI DAR SIKU YA IJUMAA KULAANI FILAMU YA MAREKANI ILIYO KASHIFU MTUME.



 Amiri wa Shura ya maimamu Tanzania Shekh Mussa Kundecha (kulia) akiwa masheikh wa Taasisi ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiisilam Tanzania wakati wa kutangaza hatua za kuchukua kwa Waisilamu wa Tanzania dhidi ya Filamu iliyotengenezwa nchini Marekani na kumkashifu Mtume Mohamad (SAW). Kwenye mkutano huo msimao uliotangazwa ni wakufanyika mkutano mkubwa Jangwani jijini Dar es Salaam ambapo waisilamu wote watakusanyika hapo kulaani Filamu hiyo.
 Waisilamu waliohudhuria mkutano huo kwenye msikiti wa Kichangani jijini Dar es Salaam wakati wa Sala ya Ala -asiri leo, wakifuatilia kwa makini matamko na mawaidha ya masheikh mbalimbali.
TUNAFUATILIA HATUA KWA HATUA!

No comments :

Post a Comment