Mkurugenzi wa Mahusiano wa taasisi isiyokuwa ya kiserikali (Mantra)
Bernad Mihayo akimkabidhi mkuu wa wilaya ya songea Joseph Mkirikiti
msaada wa shilingi milioni nane katika kusaidia timu ya Mchezo ngumi
mkoani ruvuma ambayo inashiriki mashindano ya nguni ya taifa ambayo
yameanza leo september 17 katika uwanja wa ndani wa taifa
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment