Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 17, 2012

MANTRA TANZANIA YAICHANGIA MIL 8 TIMU YA NGUMI RUVUMA




https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9oc7KKzXDA3WQhAiSrYvAQ8I49KXIP4F60rdVMwhiY5YqAb9dJzJ288MqduXy6Oc8ebFSZDdtvN0jRE_G2QtZYpU5cl-D5gFqrqdnRsVgGCTOkXA7-134AHMWBjCBwim-ajeRpBivpxk/s1600/pix+1.jpg
 Mkurugenzi wa Mahusiano wa taasisi isiyokuwa ya kiserikali (Mantra) Bernad Mihayo akimkabidhi mkuu wa wilaya ya songea Joseph Mkirikiti msaada wa shilingi milioni nane  katika kusaidia timu ya Mchezo ngumi mkoani ruvuma ambayo inashiriki mashindano ya nguni ya taifa ambayo yameanza leo september 17 katika uwanja wa ndani wa taifa

No comments :

Post a Comment